Eeh niaje Deno
Vipi Bahati tena?
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
Nimesoma degree na kazi bado(Bado)
Mke wangu anadanga umasikini chanzo(Bado)
Vibarua Eastleigh na kazi bado(Bado)
Nyuma nayo ya kupanga elimu zero(Bado)
Mama analia cancer matibabu bado
Heri yule tajiri atatibiwa Ng'ambo
Baba lini machozi yatafika mwisho
Fanya hima ushuke tumefika mwisho
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona
Nijue sura ya mke wangu
Pia mwezi na nyota nione
Nikichunguza na kuvutia
Alafu isitoshe
Shida zimeniandama aaah
Kodi sijalipa(Bado)
Jirani anachoma nyama aah
Angalau hata mboga(Bado)
Si ati kwamba nasahau
Unaniwaziaga mema(Bado)
Ila mwisho nimefika
Lakini nakutazamia(Bado)
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kuona
Nijue sura ya mke wangu
Mwanao nimemiss kucheka
Vile vifunny funny vya wenzangu
Natamani hata kupata baraka
Nifanane na wenzangu
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza sipo niambie bado
Kuna wakati nafika mwisho niambie bado
Kuna wakati nawaza kifo niambie bado
Nikumbushe bado, niambie bado
Nikumbushe bado, mwanao bado
BADO- Bahati feat. Patoto Pa Sweetstar & Harrie Richie
Bado Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration
Bahati's song "Bado," featuring Patoto Pa Sweetstar and Harrie Richie and released on October 11, 2024, delves into the raw depths of human struggle and the desperate plea for perseverance in the face of overwhelming despair. The title "Bado," meaning "Not yet" or "Still" in Swahili, serves as the central theme, a cry for delay against an imminent end, whether literal or metaphorical. The repetitive chorus, "Kuna wakati nafika mwisho niambie bado, Kuna wakati nawaza sipo niambie bado," powerfully articulates moments of hitting rock bottom and contemplating giving up entirely, pleading with a higher power or inner strength to be told "not yet," to hold on a little longer. This repeated invocation sets a tone of vulnerability and a profound need for affirmation to continue.
The verses paint a vivid picture of multifaceted hardships that resonate with many. The lyrics detail the frustration of obtaining education ("Nimesoma degree") only to remain jobless ("kazi bado"), highlighting the dashed hopes of upward mobility. The struggle extends to the family unit, with a spouse resorting to difficult means ("Mke wangu anadanga umasikini chanzo") due to poverty, and the harsh reality of manual labor ("Vibarua Eastleigh") yielding no significant progress or even stable housing ("Nyumba nayo ya kupanga elimu zero"). The personal and familial suffering is further emphasized by the mention of a mother battling cancer ("Mama analia cancer matibabu bado") and the stark contrast with the wealthy who can afford treatment abroad ("Heri yule tajiri atatibiwa Ng'ambo"), underscoring social inequality and limited access to essential services. This accumulation of burdens leads to the poignant question to a divine figure, "Baba lini machozi yatafika mwisho" (Father, when will the tears end?), a desperate call for intervention.
Beyond material and health struggles, the song captures a deep emotional and spiritual yearning. The artist expresses missing simple joys ("Mwanao nimemiss kucheka"), the ability to see loved ones clearly ("Natamani hata kuona Nijue sura ya mke wangu"), and even appreciating the natural world ("Pia mwezi na nyota nione"). The feeling of being relentlessly pursued by problems ("Shida zimeniandama") is palpable, from unpaid rent ("Kodi sijalipa") to the inability to afford even basic food while neighbors enjoy more ("Jirani anachoma nyama... Angalau hata mboga bado"). Despite the immense pressure, there is a flicker of hope, an acknowledgement that a higher power is perhaps still mindful ("Si ati kwamba nasahau Unaniwaziaga mema"). The lyrics ultimately rest on a fragile but present expectation, "Ila mwisho nimefika Lakini nakutazamia bado" (Though I have reached the end, I am still looking to you).
The plea "Nikumbushe bado, niambie bado, Nikumbushe bado, mwanao bado" serves as a powerful prayer or affirmation. Addressing a higher power as "mwanao" (Your child) adds a layer of filial connection and dependence, appealing for compassion and support from a divine parent. This resonates with scriptural themes of seeking strength and guidance from God during times of affliction and not losing hope. Verses like Philippians 4:13, which speaks of finding strength through faith, or passages in Psalms that express deep despair yet end in renewed hope or trust in divine deliverance, find a parallel in the song's journey from contemplating an end to pleading for continuance. The song, through its raw honesty and repetitive plea, becomes an anthem for anyone feeling overwhelmed, reminding that even at the brink, the call to persevere, the whisper of "not yet," holds immense power. It is a testament to the human spirit's capacity to cry out for help and cling to the possibility of a future beyond present suffering, embodying a universal struggle and the enduring search for hope and resilience.